Matangazo
◼ Vichapo vya kutolea mnamo Mei na Juni: Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Siku za Posho na broshua Mungu Anataka Nini Kwetu? siku zinazobaki za juma. Julai: Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele. Tutajikaza hasa kuanzisha mafunzo ya Biblia ya nyumbani. Agosti na Septemba: Broshua ya kurasa 32 kati ya zifuatazo: Je! Kweli Mungu Anatujali?; Je! Uamini Utatu?; Serikali Itakayoleta Paradiso; Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa . . . ; Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai? Wewe Waweza Kulipataje?; Kuishi Milele Duniani Katika Furaha!
◼ Akaunti za kutaniko zingepaswa kuchunguzwa Juni 1 au kisha tu tarehe hiyo iwezekanavyo.
◼ Je! kutaniko lenu linapokea magazeti ya kutosha? Kwa ajili ya utendaji mwingi, labda mtaona vema kuongeza agizo lenu.
Les avis qui suivent méritent d’être harmonisés! ◼ Watu wanaoshirikiana na kutaniko fulani wanapaswa kutuma kwa njia yake kila uandikisho au uandikisho unaofanywa upya wa Mnara wa Mlinzi au Amkeni! kutia ndani uandikisho wao.
◼ Sosaiti haikubali maombi ya kibinafsi ya vitabu vya wahubiri. Mwangalizi-msimamizi atapanga ili tangazo lifanyike kila mwezi kabla ya ombi la mwezi la vitabu vya kutaniko halijatumwa kwenye Sosaiti. Hilo litawawezesha wote wale wanaotamani kupata bidhaa kwa matumizi yao ya kibinafsi kumjulisha ndugu anayehusika na vitabu. Tafadhali kumbukeni ni bidhaa gani vinavyoweza kupatikana kwa kufanya ombi la pekee.
◼ Vichapo vipya vinavyopatikana:
Pa Zande: Mungu Anataka Nini Kwetu?; Serikali Itakayoleta Paradiso. Kifaransa: Les Saintes Ecritures — Traduction du monde nouveau, ya dhahabu, chapa iliyorudiliwa (Dlbi-12); Mungu Anataka Nini Kwetu? Lingala: Siri ya Kupata Furaha ya Familia. Monokutuba: Yule Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi na Siri ya Kupata Furaha ya Familia. Otetela: Siri ya Kupata Furaha ya Familia. Tshiluba: Yule Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi.