Matangazo
◼ Vitabu vya kutolea katika Agosti na Septemba: Broshua moja ya kurasa 32 kati ya zifuatazo: Je! Kweli Munga Anatujali?; Je! Uamini Utatu?; Serikali Itakayoleta Paradiso; Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa. . . ; Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai?—Wewe Waweza Kulipataje?; Kuishi Milele Katika Furaha Duniani! Oktoba: Siri ya Kupata Furaha ya Familia. Novemba: Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Ikiwa mtu fulani anaonyesha kupendezwa wakati wa ziara za kurudia, itawezekana kumpendekezea uandikisho.
◼ Mwezi huu wa Agosti una miisho-juma tano yenye kujaa, jambo ambalo linaweza kuwezesha walio wengi kuwa mapainia wasaidizi mwezi huu.
◼ Kuanzia mwezi wa Septemba, waangalizi wa mzunguko watatoa hotuba iliyo na kichwa cha habari “Tutumaini Katika Uwezo Wenye Kuokoa wa Yehova.”