Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 9/97 uku. 2
  • Mikutano ya Utumishi ya Septemba

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mikutano ya Utumishi ya Septemba
  • Huduma Yetu ya Ufalme—1997
Huduma Yetu ya Ufalme—1997
km 9/97 uku. 2

Mikutano ya Utumishi ya Septemba

Juma Toka Septemba 1

Wimbo 16

Dak. 7: Matangazo ya kwenu. Matangazo yaliyochaguliwa ya Huduma Yetu ya Ufalme. Eleza ripoti ya utumishi ya kutaniko, ikiwa tayari ipo.

Dak. 13: “Mikutano I­nachochea Kwenye Matendo Mema.”Titre à vérifier Kwa maulizo na majibu. Onyesha wazi faida za mazungumzo yenye kujenga ambayo tunaweza kuwa nayo kabla na kisha mikutano.—Ona Kiongozi cha Shule, uku. 82, § 17, 18.

Dak. 25: “Tumtegemee Yehova ili ‘Kufululiza Kukuza.’” Titre à vérifier Hotuba pamoja na maonyesho. Tia mkazo ulazima wa kufanya ziara za kurudia kwa watu waliokubali broshua. Fikiria mbele maonyesho mawili yanayoonyesha jinsi ya kuanzisha mafunzo. Toa pia madokezo yanayotokana na nyongeza ya Huduma Yetu ya Ufalme ya Aprili 1997, § 7-11.

Wimbo 78 na sala ya mwisho.

Juma Toka Septemba 8

Wimbo 20

Dak. 5: Matangazo. Hali ya akaunti.

Dak. 15: “Wakristo Wazee-Wazee Wanahubiri Bila Kuacha.”Titre à vérifier Kwa maulizo na majibu. Taja kisa cha dada mzee-mzee aliyekuwa painia msaidizi anayeripotiwa katika Mnara wa Mlinzi wa Julai 1, 1988, uku. 13.

Dak. 25: “Ujenzi wa Majumba ya Ufalme Katika Shirikisho ya Amerika.” Kwa maulizo na majibu na “Ujenzi wa Majumba ya Ufalme Ulimwenguni.” Titre à vérifier Kwa maulizo na majibu.

Wimbo 71 na sala ya mwisho.

Juma Toka Septemba 15

Wimbo 14

Dak. 10: Matangazo. Kifupi cha makala “Programu ya Kusanyiko la Pekee la Siku Moja Lijalo.” Titre à vérifier

Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.

Dak. 25: Tufanye Ziara za Kurudia kwa Kutumia Broshua Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa . . . Onyesha jinsi ya kutokeza ulizo na kutumia broshua ili kulijibu. Kwa mfano, broshua inajibu maulizo yafuatayo: Je! kuna tumaini kwa ajili ya wafu? (kur. 5, 6) Je! ni vibaya kuhuzunika na kutoa machozi? (kur. 8, 9) Jinsi gani kushindana na huzuni? (uku. 18) Ni msaada gani wengine wanaoweza kutoa? (kur. 20-3) Jinsi gani kuwasaidia watoto kuelewa maana ya kifo? (uku. 25) Ni faraja gani Biblia inatoa? (uku. 27) Baadaye, zungumza na wahubiri wawili wenye uwezo juu ya namna wanavyotumia broshua hiyo katika ziara za kurudia ili kujibu maulizo yanayoulizwa zaidi juu ya kifo. Fanyeni onyesho moja juu ya matumizi ya broshua katika ziara ya kurudia.

Wimbo 94 na sala ya mwisho.

Juma Toka Septemba 22

Wimbo 23

Dak. 10: Matangazo. Kumbusha kila mmoja kutoa ripoti yake ya utumishi. Tangaza mipango iliyochukuliwa kwa ajili ya mahuibiri mwishoni mwa juma.adaptation Congo ?

Dak. 15: “Faidika Kikamilifu na Shule Yako.”Titre à vérifier Baba anachunguza makala pamoja na watoto wake, na pia mashauri yenye kutenda kazi yanayotolewa katika Amkeni! ya Desemba 22, 1995, kur. 7-11.

Dak. 20: Tuhubiri Tukiwa na Kusudi. Mzee na mtumishi wa huduma mmoja au wawili wanazungumza kwa kifupi kurasa 8-12 za kitabu Huduma Yetu. Zungumzeni hasa sababu za lazima kwa ajili yazo tungepaswa kulinda hali ya kutazamia mema, kuendelea kufanya maendeleo katika huduma na sikuzote kushirikiana kwa ukaribu pamoja na tengenezo la Yehova.

Wimbo 100 na sala ya mwisho.

Juma Toka Septemba 29

Programu ya mahali, kufuatana na mahitaji ya kutaniko.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine