Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 5/07 uku. 2
  • Programu ya Mikutano ya Utumishi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Mikutano ya Utumishi
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2007
  • Vichwa Vidogo
  • Juma Tokea Tarehe 14/05
  • Juma Tokea Tarehe 21/05
  • Juma Tokea Tarehe 28/05
  • Juma Tokea Tarehe 04/06
Huduma Yetu ya Ufalme—2007
km 5/07 uku. 2

Programu ya Mikutano ya Utumishi

Juma Tokea Tarehe 14/05

Wimbo 205

Dak. 10: Matangazo ya kutaniko lenu. Mkitumia mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa wa 4 au utoaji mwingine wowote wenye kufaa eneo lenu, fanyeni onyesho la jinsi ya kutolea watu Mnara wa Mlinzi wa tarehe 15/05 na Amkeni! ya mwezi wa 5.

Dak. 20: Kutegemeza Kazi ya Ufalme Kwenu na Ulimwenguni Pote. Hotuba na mazungumzo pamoja na wasikilizaji, yenye kutegemea kitabu Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Mungu, sura ya 12.

Dak. 15: “Yeye Anampa Nguvu Mtu Aliyechoka.”* Ikiwa wakati unaruhusu, omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu maandiko yanayotajwa.

Wimbo 1 na sala ya kumalizia.

Juma Tokea Tarehe 21/05

Wimbo 41

Dak. 10: Matangazo ya kutaniko lenu. Chunguzeni Kisanduku cha Maulizo.

Dak. 15: Unaweza Kujifunza Luga Nyingine! Hotuba yenye kutegemea Amkeni! ya mwezi wa 3, 2007, ukurasa wa 10-12. Kazia faida ya kujifunza luga nyingine ili kuendeleza habari njema.

Dak. 20: “Je, Unatetea Neno la Mungu?”* Tia ndani maelezo ya visanduku katika kitabu Shule ya Huduma kwenye ukurasa wa 143-144.

Wimbo 202 na sala ya kumalizia.

Juma Tokea Tarehe 28/05

Wimbo 46

Dak. 10: Matangazo ya kutaniko lenu. Soma ripoti ya feza na shukrani kuhusu michango. Kumbusha wahubiri watoe ripoti za mahubiri za mwezi wa 5. Mkitumia mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa wa 4 au utoaji mwingine mbalimbali wenye kufaa eneo lenu, fanyeni onyesho la jinsi ya kutolea watu Mnara wa Mlinzi wa tarehe 01/06 na Amkeni! ya mwezi wa 6.

Dak. 20: Toleeni Watu Kitabu Muumba au Furaha ya Familia Katika Mwezi wa 6. Onyesha sehemu fulani zenye kufaa wakati wetu za vitabu hivyo na fanyeni onyesho la jinsi ya kutolea watu kila kitabu kwa kutumia namna mbalimbali za kutolea watu vitabu ambazo zinaweza kuwa na matokeo mazuri katika eneo lenu. Ikiwa wakati unaruhusu, omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu matokeo mazuri waliyopata kwa kutolea vitabu hivyo watu wanaofahamiana nao au washiriki wa familia.

Dak. 15: Mambo Yaliyoonwa Katika Mahubiri. Mzungumzie mambo ambayo mapainia wasaidizi na wahubiri wengine walijionea walipotumika kwa bidii ili kupanua kazi yao ya kuhubiri katika mwezi wa 3, wa 4 na wa 5. Pia mzungumzie mambo yaliyoonwa ya wale waliorudilia watu ambao waliachia magazeti wakiwa na kusudi la kuanzisha funzo la Biblia. Jambo moja au mambo mawili yenye kupendeza zaidi yanaweza kuchezwa upya.

Wimbo 21 na sala ya kumalizia.

Juma Tokea Tarehe 04/06

Wimbo 99

Dak. 10: Matangazo ya kutaniko lenu. Matangazo yaliyochaguliwa katika Huduma Yetu ya Ufalme.

Dak. 15: Mahitaji ya kutaniko lenu.

Dak. 20: “Fundisha Watoto Wako Kumsifu Yehova.”* Mnapozungumzia fungu la 4, tieni ndani maelezo ya Huduma Yetu ya Ufalme ya mwezi wa 7, 2005, ukurasa wa 3.

Wimbo 169 na sala ya kumalizia.

* Maneno ya utangulizi yasifikie dakika moja, kisha uendelee na mazungumzo ya maulizo na majibu.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine