JUMA TOKEA TAREHE 16 MWEZI WA 2
Wimbo 98
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jd sura 14 fu.18-26
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 29-31
Na. 1: Mwanzo 29:1-20
Na. 2: Kwa Nini Tunapaswa ‘Kuacha Kuhangaika?’ (Mt. 6:25)
Na. 3: Utii Unakulinda Wewe (lr sura 7)
❑ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 172
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: ‘Fanya Mambo Yote kwa Ajili ya Habari Njema.’ Mazungumzo ya maulizo na majibu.
Dak. 15: Je, Unaweza Kuwa Painia Msaidizi Katika Kipindi cha Ukumbusho? Hotuba itakayotolewa kwa uchangamfu na mwangalizi wa utumishi. Zungumzia sifa ambazo mutu anapaswa kutimiza ili kuwa painia msaidizi. Eleza furaha na baraka zinazotokana na upainia msaidizi. Onyesha mipango ambayo imechukuliwa katika kutaniko lenu kuhusiana na mikutano ya zaidi kwa ajili ya utumishi wa shambani katika mwezi wa 3, wa 4, na wa 5. Uliza maulizo wahubiri wawili ao watatu ambao walifanya utumishi wa upainia msaidizi mwaka jana. Ni mabadiliko gani waliyofanya katika programu yao? Ni baraka gani ambazo walipata? Tia moyo washiriki wa kila familia wazungumzie jinsi wanavyoweza kufanya ili mshiriki mmoja ao zaidi awe painia msaidizi katika kipindi cha Ukumbusho kinachokuja.
Wimbo 151