Programu ya Juma Tokea Tarehe 1 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 1 MWEZI WA 2
Wimbo 26 (138)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 16 fu. 9-14, kisanduku kwenye uku. 192-193
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 8-10
Na. 1: Waamuzi 8:1-12
Na. 2: Je, Waovu Wataazibiwa Milele? (rs uku. 156 fu. 3–uku. 157 fu. 2)
Na. 3: Kujua Ukweli Kuhusu Kifo Kunatuletea Faida Gani?
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 129 (119)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Kuanzisha Mafunzo ya Biblia. Julisha wahubiri ni siku gani ya mwezi ambayo inapangwa ili kuanzisha mafunzo ya Biblia. Zungumzia mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo, ao uliza mwangalizi wa utumishi ao mhubiri mwingine mwenye kuzoea kazi ya kuhubiri njia ya kuanzisha mafunzo ya Biblia ambayo ameona kuwa yenye matokeo katika eneo lenu. Kisha unaweza kumwomba afanye onyesho kuhusu njia hiyo.
Dak. 10: Tutumie Vielelezo Katika Mahubiri. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 247, fungu 1, mpaka ukurasa wa 248, fungu 1.
Wimbo 98 (133)