Programu ya Juma Tokea Tarehe 8 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 8 MWEZI WA 2
Wimbo 23 (47)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura. 16 fu. 15-22, kisanduku kwenye uku. 194
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 11-14
Na. 1: Waamuzi 13:1-14
Na. 2: Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Maneno ya Yesu Yaliyo Katika Luka 16:9-13?
Na. 3: ‘Kuteswa Milele’ Kunakotajwa Katika Ufunuo Kunamaanisha Nini? (rs uku. 157 fu. 3-4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 94 (182)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kujibu Maulizo Kuhusu Sikukuu. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kutegemea kitabu Kutoa Sababu, vichwa vidogo viwili kuanzia uku. 278 fu. 1 mpaka uku. 279 fu. 3. Ni sikukuu gani zinazoazimishwa katika eneo lenu? Ni wakati gani na mahali gani ambapo unaweza kutoa ushahidi kuhusu sikukuu fulani? Mufanye onyesho; katika onyesho hilo mzazi anamtayarisha mtoto wake kuhusu jinsi ya kujibu ulizo: Kwa nini hamuazimishe Pasaka?
Dak. 20: “Kugawanyia Watu Mwaliko wa Ukumbusho Ulimwenguni Pote!” Mazungumzo ya maulizo na majibu. Mbele ya kuzungumzia fungu la 2, ikiwa mumekwisha kupata vikaratasi vya mwaliko, mumupatie kila mutu kikaratasi kimoja cha mwaliko na muzungumzie sehemu mbalimbali za mwaliko huo. Kisha kuzungumzia fungu la 2, omba mhubiri mmoja afanye onyesho kuhusu jinsi ya kumtolea mutu mwaliko huo. Omba mwangalizi wa utumishi ao mzee mwingine atoe maelezo mengine kuhusu mipango ya mahubiri iliyofanywa kwa ajili ya kampanye ya kugawanyia watu mwaliko wa Ukumbusho.
Wimbo 18 (114)