Programu ya Juma Tokea Tarehe 8 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 8 MWEZI WA 3
Wimbo 117 (54)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 1 fu. 8-15
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 1-4
Na. 1: 1 Samweli 2:18-29
Na. 2: Je, Yesu Alifundisha Kwamba Waovu Wanateswa Kisha Kifo? (rs uku. 159 fu. 5)
Na. 3: Maandiko Yanayoonyesha Kwamba Yehova Anawapenda Watoto
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 109 (105)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Je, Unazungumza kwa Sauti Unapohubiria Mutu? Hotuba yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, kwenye ukurasa wa 109, fungu la 2, mpaka mwisho wa sura hiyo.
Dak. 20: “Tumshukuru Mungu kwa Ajili ya Zawadi Kubwa Zaidi Aliyotutolea.” Mazungumzo ya maulizo na majibu. Kisha fungu la 3, zungumzia mipango ya mahubiri ambayo kutaniko lenu limefanya kwa ajili ya kampanye ya pekee ya kualika watu kwenye Ukumbusho. Omba painia msaidizi afanye onyesho la jinsi atakavyotolea watu mwaliko huo. Kisha, mwombe aeleze mipango aliyofanya ili aweze kazi ya upainia msaidizi, na faida ambayo amepata.
Wimbo 8 (87)