Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 4/10 uku. 3
  • Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 4/10 uku. 3

Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi

Maulizo ya kujikumbusha yanayofuata yatatumiwa kwenye Shule ya Huduma ya Kitheokrasi katika juma tokea tarehe 26 mwezi wa 4, 2010. Kwa dakika 20, mwangalizi wa shule ataongoza kujikumbusha kunakotegemea habari zilizozungumziwa tokea tarehe 1 mwezi wa 3 mpaka tarehe 26 mwezi wa 4, 2010.

1. Naomi alimaanisha nini aliposema “Yehova ndiye amenifedhehesha na Mweza-Yote ndiye amenisababishia msiba”? (Ruthu 1:21) [w05 3/1 uku. 27 fu. 2]

2. Ni sifa gani zilizomfanya Ruthu ajulikane kuwa “mwanamke bora”? (Ruthu 3:11) [w05 3/1 uku. 28 fu. 6]

3. Namna gani maneno ya Elkana “Je, mimi si bora kwako kuliko wana kumi” yalimtia nguvu muke wake? (1 Sam. 1:8) [w90 3/15 uku. 27 fu. 5-6]

4. Ni nini kilichofanya ombi la Waisraeli la kupata mfalme liwe lisilofaa? (1 Sam. 8:5) [w05 9/15 uku. 20 fu. 17; it-2-F uku. 827 fu. 1]

5. Namna gani Samweli aliyekuwa ‘amezeeka na mwenye imvi,’ alijionyesha kuwa mfano mzuri katika kusali kwa ajili ya wengine, na hilo linaonyesha nini? (1 Sam. 12:2, 23) [w07 6/1 uku. 29 fu. 14-15]

6. Kwa nini Sauli aliwaonyesha Wakeni wema kwa njia ya pekee? (1 Sam. 15:6) [w05 3/15 uku. 22 fu. 10]

7. Kwa nini Sauli alimwuliza Daudi, “Wewe mvulana, wewe ni mwana wa nani?” (1 Sam. 17:58) [w07 8/1 uku. 31 fu. 3, 5]

8. Tunaweza kujifunza nini kutokana na jinsi Daudi alivyoshugulikia tatizo nzito huko Gathi? (1 Sam. 21:12, 13) [w05 3/15 uku. 24 fu. 4]

9. Namna gani Yonathani alionyesha upendo na unyenyekevu alipoona kuwa jambo la lazima kumwunga mkono na kumtia moyo rafiki yake Daudi? (1 Sam. 23:17) [lv uku. 28 fu. 10, maelezo ya chini.]

10. Tunajifunza nini kutokana na kukutana kwa Sauli na mchawi katika En-dori? (1 Sam. 28:8-19) [w05 3/15 uku. 24 fu. 7]

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine