Programu ya Juma Tokea Tarehe 3 Mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 3 MWEZI WA 5
Wimbo 4 (37)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura 4 fu. 1-10
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 1-3
Na. 1: 2 Samweli 2:12-23
Na. 2: Je, Yesu Alitumia Jina la Mungu Katika Mahubiri Yake?
Na. 3: Ni Nini Iliyo Asili ya Sikukuu za Kukumbuka “Roho za Wafu”? (rs uku. 280 fu. 2–uku. 281 fu. 3)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 31 (113)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Ikiwa Msikilizaji Anasema, ‘Ninyi Hamwamini Yesu.’ Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 437 fu. 3 mpaka ukurasa wa 438 fu. 4.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Faidika na Baraka Zinazotokana na Mahubiri ya Vikundi. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 108, fungu la 1-3. Omba mwangalizi wa utumishi ajulishe kutaniko programu na mahali pa kufanyia mikutano kwa ajili ya mahubiri. Omba wasikilizaji waeleze faida ambazo wamepata kwa kutegemeza mpango huo na kuhubiri pamoja na wahubiri walio katika kikundi chao cha mahubiri.
Wimbo 100 (166)