Programu ya Juma Tokea Tarehe 13 mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 13 MWEZI WA 9
Wimbo 63
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 10 fu. 11-17
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 16-18
Na. 1: 2 Wafalme 17:1-11
Na. 2: Je, Yehova Katika “Agano la Kale” Ndiye Yesu Katika “Agano Jipya”?
(rs uku. 426 fu. 4-7)
Na. 3: Je, Biblia Inatuomba Tumwamini Mungu Bila Kufikiri?
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 47
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumepewa Heshima ya Kuwa Wahudumu wa Habari Njema. Hotuba yenye shauku inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 77 mpaka ukurasa wa 78, fungu la 2.
Dak. 20: “DVD: Nguvu ya Biblia Katika Maisha Yako. (La Bible : une force dans votre vie)” Maulizo na majibu.
Wimbo 114