Programu ya Juma Tokea Tarehe 4 mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 4 MWEZI WA 10
Wimbo 10
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 11 fu. 8-14
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 1-4
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 1:1-27
Na. 2: Inamaanisha Nini Kuwa Mutu Mwenye Kufanya Amani (1 Pet. 3:10-12)
Na. 3: Je, Mashahidi wa Yehova Ni Dini ya Amerika, na Garama ya Kazi yao Inalipwaje? (rs uku. 189 fu. 6–uku. 190 fu. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 11
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kwa Nini Sisi Tunaripoti Utumishi Wetu wa Shambani? Hotuba itakayotolewa na mwandishi wa kutaniko. Inategemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 88, fungu la 1, mpaka ukurasa wa 90 fungu la 2.
Dak. 20: Je, Uko Tayari Kupambana na Vipingamizi Kwenye Masomo? Mazungumzo yanayotegemea barua ya tarehe 15 mwezi wa 6, 2010 kutoka biro ya tawi. Kisha kusoma kila fungu, omba wasikilizaji waeleze jinsi ya kutumia habari hii ili kutayarisha watoto wao ao jinsi ya kuizungumzia pamoja na walimu wa watoto wao.
Wimbo 112