Programu ya Juma Tokea Tarehe 24 mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 24 MWEZI WA 1
Wimbo 53 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 16 fu. 15-20, kisanduku kwenye ukurasa wa 171 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezra 6-10 (Dak. 10)
Na. 1: Ezra 7:1-17 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Namna Gani Yesu Alionyesha Kwamba Anastahili Kuwa Mfalme?(Dak. 5)
Na. 3: Je, Kweli Yesu Kristo Ni Mungu?—rs uku. 430 fu. 2-3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 30
Dak. 5: Matangazo. Taja toleo la vitabu la mwezi wa 2, na mufanye onyesho moja kuhusu toleo hilo.
Dak. 20: “Msaada kwa Familia.”—Sehemu ya 1. (Fungu la 1-6 na kisanduku kwenye ukurasa wa 6.) Maulizo na majibu. Tia moyo wasikilizaji wajaribu kutumia mapendekezo fulani yaliyo katika kisanduku kwenye ukurasa wa 6 wakati wa Ibada yao ya Familia ya mangaribi watakayofanya wakati ujao. Juma lijalo, wakati wa kuchunguza sehemu ya pili ya habari hiyo, watakuwa na nafasi ya kutoa mawazo yao kuhusu jinsi familia yao ilivyofaidika.
Dak. 10: Tujitayarishe Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 2. Mazungumzo. Kwa muda wa dakika moja ao mbili, zungumzia habari zilizo katika magazeti. Kisha, chagua habari mbili ao tatu, na uombe wasikilizaji wapendekeze maulizo na maandiko ambayo wanaweza kutumia wanapotolea watu magazeti hayo. Fanyeni onyesho kuhusu jinsi munavyoweza kutolea watu kila gazeti.
Wimbo 32 na Sala