Programu ya Juma Tokea Tarehe 31 mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 31 MWEZI WA 1
Wimbo 99 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 17 fu. 1-9 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Nehemia 1-4 (Dak. 10)
Na. 1: Nehemia 2:11-20 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Andiko la Yohana 1:1 Linaonyesha Kwamba Yesu Ni Mungu?—rs uku. 431 fu. 2-4 (Dak. 5)
Na. 3: Jinsi Tunavyoonyesha Kwamba Tunatii Maneno ya Yesu Yaliyo Kwenye Mathayo 22:21? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 52
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 20: “Msaada kwa Familia.”—Sehemu ya 2. (Mafungu 7-13) Maulizo na majibu. Omba wasikilizaji waeleze jinsi familia zao zilivyofaidika kwa kutumia mapendekezo fulani yanayopatikana kwenye ukurasa wa 6.
Dak. 10: “Muwazoeze Watato Wenu Wawe Wahubiri.” Maulizo na majibu. Omba wasikilizaji waeleze njia fulani ambazo wazazi wao walitumia ili kuwasaidia kujiwekea na kufikia hatua kwa hatua miradi katika huduma.
Wimbo 88 na Sala