Programu ya Juma Tokea Tarehe 14 mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 14 MWEZI WA 2
Wimbo 72 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 17 fu. 16-20, kisanduku kwenye uku. 181 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Nehemia 9-11 (Dak. 10)
Na. 1: Nehemia 11:1-14 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Andiko la Mathayo 1:23 Linaonyesha Kwamba Yesu Alikuwa Mungu Alipokuwa Duniani?—(rs uku. 432 fu. 2–uku. 433 fu. 1) (Dak. 5)
Na. 3: Njia Ambazo Katika Hizo Fazili Zisizostahiliwa za Mungu Zinaonyeshwa—1 Pet. 4:10 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 48
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 12: Jinsi ya Kuzungumza na Mutu Usiyemfahamu. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 62-64. Uliza maulizo machache mhubiri ambaye anajulikana kuwa na ufundi wa kuanzisha mazungumzo anapohubiri wakati hakupanga kufanya hivyo ao anapohubiri nyumba kwa nyumba.
Dak. 18: “Kipindi cha Ukumbusho—Nafasi ya Kuhubiri Zaidi!” Maulizo na majibu. Itolewe na mwangalizi wa utumishi. Kisha kuzungumzia habari hii, julisha mipango ambayo imechukuliwa katika kutaniko lenu kuhusiana na mikutano kwa ajili ya mahubiri katika mwezi wa 3, wa 4, na wa 5. Pendekeza programu zinazoweza kuwezesha wale walio katika hali mbalimbali wahubiri saa 50 katika mwezi. Uliza wahubiri wawili ao watatu ambao walikuwa mapainia wasaidizi katika kipindi cha Ukumbusho mwaka uliopita hata ikiwa walikuwa na kazi nyingi ao matatizo ya afya.
Wimbo 8 na Sala