Programu ya Juma Tokea Tarehe 21 mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 21 MWEZI WA 2
Wimbo 97 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 18 fu. 1-9 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Nehemia 12-13 (Dak. 10)
Na. 1: Nehemia 13:15-22 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Inamaanisha Nini Kujitoa Kikamili kwa Yehova Mungu?—Kut. 20:5 (Dak. 5)
Na. 3: Andiko la Yohana 5:18 Linamaanisha Nini?—rs uku. 433 fu. 2-3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 133
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Yehova Hatawaacha Washikamanifu Wake. (Zab. 37:28) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka 2010, ukurasa wa 149, fungu la 1, mpaka ukurasa wa 150, fungu la 4; na ukurasa wa 175, fungu la 2, mpaka ukurasa wa 179, fungu la 4, bila kutia ndani mfuatano wa matukio. Kisha kuzungumzia kila jambo lililoonwa, omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo wanayojifunza.
Dak. 10: Umalizio Mzuri Katika Mahubiri. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 221, fungu la 6, mpaka mwisho wa ukurasa wa 222. Mufanye onyesho fupi kuhusu jambo moja ao mambo mawili yanayozungumziwa katika habari.
Dak. 10: “‘Kutoa Ushahidi Kamili’ Kuhusu Ufalme wa Mungu.” Maulizo na majibu.
Wimbo 31 na Sala