Programu ya Juma Tokea Tarehe 28 mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 28 MWEZI WA 2
Wimbo 5 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sur ya 18 fu. 10-18 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Esta 1-5 (Dak. 10)
Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 93
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Fanya Ujumbe Uwe Wenye Kutia Moyo. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 202. Kwa kutumia tolea la mwezi ujao, mufanye onyesho kuhusu mapendekezo yaliyo katika fungu la mwisho.
Dak. 10: Faidika na Kitabu Kuyachunguza Maandiko Kila Siku. Mazungumzo yanayotegemea utangulizi wa kitabu Kuyachunguza Maandiko—2011. Tia wote moyo wachunguze kila siku andiko la siku. Omba wasikilizaji waeleze wakati ambao wamepanga ili kuchunguza andiko la siku na jinsi ambavyo wamefaidika. Zungumzia kwa kifupi andiko la mwaka wa 2011. Zungumzia sehemu yenye kichwa “Andiko la Siku Halitachunguzwa Tena Kwenye Mikutano kwa Ajili ya Mahubiri.”
Dak. 10: Tujitayarishe Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 3. Mazungumzo. Kwa dakika moja ao mbili, zungumzia habari fulani zilizo katika magazeti. Kisha, chagua habari mbili ao tatu, na omba wasikilizaji wapendekeze maulizo na maandiko ambayo wanaweza kutumia wanapomtolea mutu gazeti. Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 33 na Sala