Habari za Mahubiri Zenye Kufurahisha
Katika mwaka wa utumishi wa 2010, katika Congo-Kinshasa tulifikia wastani (moyenne) wa wahubiri 151,842; yaani ongezeko la 5% kwa kulinganisha na mwaka uliopita, na wahubiri 5,215 katika Congo-Brazzaville, yaani ongezeko la 3%. Tulitolea watu vitabu 1,586,000; broshua 2,617,000 na magazeti 10,680,000. Hesabu ya magazeti tuliyotolea watu mwaka huu ni mara mbili zaidi kuliko magazeti tuliyotolea watu katika 2005. Sisi wote tulihubiri saa 35,043,000. Hesabu hizo zinaonyesha kwamba tulitia faida za Ufalme pa nafasi ya kwanza. Pongezi! Tuendelee hivyo.