Programu ya Juma Tokea Tarehe 16 mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 16 MWEZI WA 5
Wimbo 96 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 4 fu. 1-4, kisanduku kwenye uku. 30 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 11-18 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 17:1-15 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Namna Gani Tunaonyesha Kwamba Tunamwabudu Yehova Pekee?—Rom. 6:16, 17 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Wayahudi wa Asili Leo Ni Watu wa Mungu Waliochaguliwa?—rs uku. 409 fu. 3–uku. 411 fu. 2 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 127
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumia Maulizo ili Kufundisha Vizuri—Sehemu ya 1. Mazungumzo yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 236 mpaka ukurasa wa 237, fungu la 2. Mufanye onyesho fupi kuhusu jambo moja ao mambo mawili yanayozungumziwa katika habari.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Kufanya Ziara za Kurudia. Hotuba yenye kutegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 97, fungu la 1 mpaka ukurasa wa 98, fungu la 1. Mufanye pia onyesho fupi; katika onyesho hilo mzee anamrudilia mutu fulani aliyekubali kitabu ambacho tunatolea watu katika mwezi huo.
Dak. 10: “Je, Unaweza Kuhubiri Siku za Yenga?” Maulizo na Majibu.
Wimbo 115 na Sala