Programu ya Juma Tokea Tarehe 1 Mwezi wa 8
JUMA TOKEA TAREHE 1 MWEZI WA 8
Wimbo 31 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 7 fu. 9-13, kisanduku kwenye uku. 56 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 87-91 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 89:26-52 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Sababu Zinazofanya Watumishi Waaminifu wa Yehova Wawe Wenye Furaha (Dak. 5)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Utamaliza Vita na Uonevu—rs uku. 314 fu. 2-5 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 131
Dak. 10: Matangazo. Kwa kutumia utoaji wenye kupendekezwa ulio kwenye ukurasa huu, mufanye onyesho kuhusu jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi wa 8. Tia wote moyo kuanzisha funzo.
Dak. 15: Tumia Mifano Inayofundisha. Mazungumzo yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 240-243. Omba wasikilizaji waeleze mifano ambayo wametumia ili kufikiri pamoja na watu katika mahubiri ao wanapoongoza mafunzo ya Biblia.
Dak. 10: Je, Uko Tayari Kupambana na Matatizo Kwenye Masomo? Mazungumzo yenye kutegemea mapendekezo fulani kutoka katika barua ya tawi ya tarehe 15 mwezi wa 6, 2010. Omba wasikilizaji waeleze jinsi walivyotumia habari hizo ili kutayarisha watoto wao na matokeo ambayo wazazi fulani walipata kwa kuzungumzia habari hiyo pamoja na walimu wa watoto wao.
Wimbo 129 na Sala