Programu ya Juma Tokea Tarehe 12 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 12 MWEZI WA 9
Wimbo 80 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 9 fu. 8-18 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 120-134 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 124:1–126:6 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ufalme wa Mungu Utafanya Ulimwengu Uwe na Watu Ambao Watapendana na Kupatana—rs uku. 317 fu. 3-5 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Tunaweza Kuendelea Kuwa na ‘Jicho Rahisi’?—Mt. 6:22, 23 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 57
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jinsi ya Kugusa Moyo—Sehemu ya 1. Hotuba yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 258 mupaka 260 fu. 5. Mufanye onyesho fupi kuhusu jambo moja ao mambo mawili yanayozungumuziwa katika habari.
Dak. 10: Haujui Ni Wapi hii Itafanikiwa. (Mhu. 11:6) Mazungumuzo yenye kutegemea Kitabu cha Mwaka cha 2011 (Kifaransa), ukurasa wa 96, fungu 1-2, na ukurasa wa 113, fungu 1, mupaka ukurasa wa 114, fungu 2. Omba wasikilizaji waseme nini waliyojifunza kutokana na habari hiyo.
Dak. 10: “Chukua kwa Uzito Kazi Yako ya Kuhubiri.” Maulizo na Majibu.
Wimbo 22 na Sala