Programu ya Juma Tokea Tarehe 19 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 19 MWEZI WA 9
Wimbo 78 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 9 fu. 19-24, kisanduku kwenye uku. 73 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 135-141 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 137:1–138:8 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Maneno ya Paulo Kwenye Waroma 14:7-9 Ni Yenye Kufariji (Dak. 5)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Utafanya Dunia Kuwa Paradiso—rs uku. 317 fu. 6–uku. 318 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 60
Dak. 5: Matangazo. Zungumuzia tangazo kuhusu afya na jinsi ya kutayarisha mikutano ya juma tokea tarehe 3 mwezi wa 10.
Dak. 10: Tulitumika Namna Gani Mwaka Jana? Hotuba itakayotolewa na mwangalizi wa utumishi. Zungumuzia kazi ambayo kutaniko lilifanya katika mwaka wa utumishi uliopita. Kazia mambo mazuri yaliyotimizwa katika kazi ya kuhubiri, na uwapongeze wahubiri kwa kazi waliyofanya. Uliza maulizo muhubiri mumoja ao wahubiri wawili walio na mambo mazuri waliyokutana nayo katika kazi ya kuhubiri. Zungumuzia jambo moja ao mambo mawili ambayo kutaniko linaweza kujikaza kutengeneza mwaka ujao kuhusiana na kazi ya kuhubiri, na utoe mapendekezo yenye kufaa ili kutengeneza uzaifu huo.
Dak. 10: Je, Unaweza Kueleza? Mazungumuzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 198, ulizo la 12-13.
Dak. 10: “Yehova Anatupatia Mazoezi ili Tufanye Kazi Hii.” Maulizo na Majibu.
Wimbo 117 na Sala