Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 9/11 uku. 4
  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 3 Mwezi wa 10

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 3 Mwezi wa 10
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Vichwa Vidogo
  • JUMA TOKEA TAREHE 3 MWEZI WA 10
Huduma Yetu ya Ufalme—2011
km 9/11 uku. 4

Programu ya Juma Tokea Tarehe 3 Mwezi wa 10

JUMA TOKEA TAREHE 3 MWEZI WA 10

Wimbo 133 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt sura ya 10 fu. 10-21 (Dak. 25)

□ Shule ya Huduma ya Kiteokrasi:

Usomaji wa Biblia: Methali 1-6 (Dak. 10)

Na. 1: Methali 6:1-19 (Isipite dak. 4)

Na. 2: Namna Gani Andiko la Waroma 8:26, 27 Linatuhakikishia Kwamba Mungu Anatupenda? (Dak. 5)

Na. 3: Je, Ni Lazima Watu Ulimwenguni Pote Wageuzwe Imani Mbele Ufalme wa Mungu Uanze Kutawala?—rs uku. 319 fu. 1-2 (Dak. 5)

□ Mukutano wa Utumishi:

Wimbo 61

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome andiko la Luka 5:12, 13 na Luka 8:43-48. Muzungumuzie jinsi maandiko hayo yanavyoweza kutusaidia katika kazi yetu ya kuhubiri.

Dak. 10: Unaweza Kufanya Afya Yako Iwe Nzuri Zaidi. Mazungumuzo yenye kutegemea Amkeni! ya mwezi wa 3, 2011, ukurasa wa 3, 4, 7-9. Tumia mashauri fulani ya maana yanayotolewa katika magazeti yanayotajwa kwenye ukurasa wa 9 wa Amkeni! hiyo. Omba wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza na kuzungumzia katika ibada yao ya familia.

Dak. 10: Tuonyeshe Adabu Katika Mahubiri. (2 Kor. 6:3) Mutumie maulizo yanayofuata kwa ajili ya mazungumuzo: (1) Kwa nini ni jambo la maana tuonyeshe adabu tunapohubiri? (2) Namna gani tunaweza kuonyesha adabu (a) kikundi chetu kinapofika katika eneo? (b) tunapoacha nyumba fulani na kwenda kwenye nyumba nyingine? (c) tunaposimama kwenye mulango? (d) ndugu ao dada tunayehubiri naye anapohubiria mutu? (e) musikilizaji anapozungumuza? (f) ikiwa musikilizaji ana kazi nyingi ao ikiwa hali ya hewa ni mbaya? (g) ikiwa musikilizaji ni mukali?

Wimbo 16 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine