Programu ya Juma Tokea Tarehe 3 Mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 3 MWEZI WA 10
Wimbo 133 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 10 fu. 10-21 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Methali 1-6 (Dak. 10)
Na. 1: Methali 6:1-19 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Namna Gani Andiko la Waroma 8:26, 27 Linatuhakikishia Kwamba Mungu Anatupenda? (Dak. 5)
Na. 3: Je, Ni Lazima Watu Ulimwenguni Pote Wageuzwe Imani Mbele Ufalme wa Mungu Uanze Kutawala?—rs uku. 319 fu. 1-2 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 61
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome andiko la Luka 5:12, 13 na Luka 8:43-48. Muzungumuzie jinsi maandiko hayo yanavyoweza kutusaidia katika kazi yetu ya kuhubiri.
Dak. 10: Unaweza Kufanya Afya Yako Iwe Nzuri Zaidi. Mazungumuzo yenye kutegemea Amkeni! ya mwezi wa 3, 2011, ukurasa wa 3, 4, 7-9. Tumia mashauri fulani ya maana yanayotolewa katika magazeti yanayotajwa kwenye ukurasa wa 9 wa Amkeni! hiyo. Omba wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza na kuzungumzia katika ibada yao ya familia.
Dak. 10: Tuonyeshe Adabu Katika Mahubiri. (2 Kor. 6:3) Mutumie maulizo yanayofuata kwa ajili ya mazungumuzo: (1) Kwa nini ni jambo la maana tuonyeshe adabu tunapohubiri? (2) Namna gani tunaweza kuonyesha adabu (a) kikundi chetu kinapofika katika eneo? (b) tunapoacha nyumba fulani na kwenda kwenye nyumba nyingine? (c) tunaposimama kwenye mulango? (d) ndugu ao dada tunayehubiri naye anapohubiria mutu? (e) musikilizaji anapozungumuza? (f) ikiwa musikilizaji ana kazi nyingi ao ikiwa hali ya hewa ni mbaya? (g) ikiwa musikilizaji ni mukali?
Wimbo 16 na Sala