Programu ya Juma Tokea Tarehe 17 Mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 17 MWEZI WA 10
Wimbo 85 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 11 fu. 5-12, kisanduku kwenye uku. 89 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Methali 12-16 (Dak. 10)
Na. 1: Methali 15:1-17 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Sala Zenye Kukubaliwa Ni Kama Uvumba Wenye Harufu Nzuri kwa Yehova?—Zab. 141:2; Ufu. 5:8 (Dak. 5)
Na. 3: Ni Alama Gani Inayoonyesha Kwamba Tunaishi Katika Siku za Mwisho?—rs uku. 285 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 12
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Mathayo 5:11, 12, 14-16, 23, 24. Muzungumuzie jinsi maandiko hayo yanavyoweza kutusaidia katika kazi yetu ya kuhubiri.
Dak. 10: Acha Musikilizaji Ajionee kwa Macho Yake Mwenyewe. Mazungumuzo yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 145. Mufanye onyesho fupi; katika onyesho hilo muhubiri anamurudilia mutu mwenye kupendezwa ambaye jina la Mungu limeondolewa katika tafsiri yake ya Biblia.
Dak. 10: “Usisite.” Maulizo na majibu. Omba watu wazima na watoto waeleze mambo waliyokutana nayo walipohubiria wengine kwenye masomo.
Wimbo 80 na Sala