Programu ya Juma Tokea Tarehe 24 Mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 24 MWEZI WA 10
Wimbo 75 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 11 fu. 13-19 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Methali 17-21 (Dak. 10)
Na. 1: Methali 17:21–18:13 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Namna Gani Vita na Ukosefu wa Chakula Vinafanyiza Sehemu ya ile ‘Alama’?—rs uku. 285 fu. 2–uku. 286 fu. 3 (Dak. 5)
Na. 3: Wale Wanaosifu Uumbaji Kuliko Kumusifu Muumbaji Wanafunua Nini Kuhusu wao Wenyewe?—Rom. 1:20 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 15
Dak. 10: Matangazo. Julisha vichapo vya kutolea watu katika mwezi wa 11, na mufanye onyesho moja ao maonyesho mawili.
Dak. 25: “Je, Unafaidika Kabisa na Mafundisho Yanayotolewa na Yehova?” Maulizo na majibu. Uliza maulizo machache mutu fulani aliyepata mazoezi ya pekee kwenye moja ya masomo hayo ya tengenezo la Yehova.
Wimbo 105 na Sala