Programu ya Juma Tokea Tarehe 31 Mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 31 MWEZI WA 10
Wimbo 104 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 12 fu. 1-8, kisanduku kwenye uku. 96 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Methali 22-26 (Dak. 10)
Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi (Dak. 20)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 28
Dak. 10: Matangazo. “Je, Kichapo Hiki Kinafaa?” Hotuba. Baada ya hotuba, mufanye onyesho kuhusu jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi wa 11, kwa kutumia njia mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo kwenye ukurasa wa 8.
Dak. 15: Kwa Nini Ni Jambo la Maana Kuvaa na Kujipamba Inavyofaa Tunapokuwa Katika Mahubiri. Mazungumuzo yatakayoongozwa na muzee. Yanategemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 131-134.
Dak. 10: Tujitayarishe Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 11. Mazungumuzo. Kwa muda wa dakika moja ao mbili, onyesha habari fulani zinazoweza kupendeza watu katika eneo lenu. Kisha, kwa kutumia makala za kwanza za Mnara wa Mlinzi, omba wasikilizaji wapendekeze maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na kisha uwaombe wapendekeze maandiko wanayoweza kusoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu makala za kwanza za Amkeni! na, ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu makala nyingine moja ya Mnara wa Mlinzi ao ya Amkeni! Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 90 na Sala