Habari za Mahubiri Zenye Kufurahisha
Congo-Kinshasa: Tulifikia mapainia wasaidizi 24,178 katika mwezi wa 4 tu, hiyo ni ripoti ya makutaniko 2,063 ambayo ilitufikia nyuma katika mwezi wa 5. Hesabu hiyo inaonyesha kwamba 28,3% ya wahubiri waliotoa ripoti katika mwezi wa 4 walifanya aina fulani ya kazi ya upainia.
Congo-Brazzaville: Tulifikia mapainia wasaidizi 1,238 katika mwezi wa 4, hesabu hiyo inaonyesha kwamba 29% ya wahubiri wote walifanya aina fulani ya kazi ya upainia. Pongezi sana, ninyi wote!