Programu ya Juma Tokea Tarehe 23 Mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 23 MWEZI WA 1
Wimbo 89 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 15 fu. 13-20 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 38-42 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 39:1–40:5 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Matazamio ya Kuishi Milele Wakati Ujao Yatatimizwa Namna Gani?—(rs uku. 331 fu. 1-3) (Dak. 5)
Na. 3: Elimu Tunayotolewa na Mungu Inapita Elimu ya Ulimwengu—Flp. 3:8 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 69
Dak. 10: Matangazo. Zungumuzia kichapo cha kutolea watu katika mwezi wa 2, na mufanye onyesho moja ao maonyesho mawili.
Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome andiko la Marko 10:17-30. Muzungumuzie jinsi andiko hilo linaweza kutusaidia katika kazi ya kuhubiri.
Dak. 15: “Tuhubirie ‘Watu wa Namna Zote.’” Maulizo na majibu. Muzungumuzie kusudi la kila broshua iliyoonyeshwa katika nyongeza. Kisha chagua broshua mbili zinazoweza kusaidia watu wa eneo lenu. Zungumuzia mambo mbalimbali yaliyo katika broshua hizo mbili na mufanye onyesho kuhusu jinsi kila broshua inavyoweza kutolewa.
Wimbo 112 na Sala