Programu ya Juma Tokea Tarehe 6 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 6 MWEZI WA 2
Wimbo 101 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 16 fu. 8-12, kisanduku kwenye uku. 132 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 47-51 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 51:1-11 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ndoa ya Kwanza Ilihusisha Matakwa Gani ya Kisheria?—rs uku. 227 fu. 2-3
Na. 3: Kwa Nini Mungu wa Upendo Anaweza Kuwaharibu Wanadamu Fulani?—2 The. 1:6-9 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 36
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Vituo vya Mawasiliano (ao Internet)?—Sehemu ya 2. Hotuba yenye kutegemea Amkeni! ya mwezi wa 8, 2011 ukurasa wa 10-13 na Amkeni! ya mwezi wa 2, 2012 ukurasa wa 8-9.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Jinsi ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 2. Mazungumuzo. Kwa muda wa dakika moja ao mbili, onyesha habari fulani zinazoweza kupendeza watu katika eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Mnara wa Mlinzi, omba wasikilizaji wapendekeze maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na kisha uwaombe wapendekeze maandiko wanayoweza kusoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu habari za kwanza za Amkeni! na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu habari nyingine moja ya Mnara wa Mlinzi ao ya Amkeni! Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 96 na Sala