Programu ya Juma Tokea Tarehe 20 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 20 MWEZI WA 2
Wimbo 37 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 17 fu. 1-7 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 58-62 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 61:1-11 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Kujiweka Wakfu Ni Tendo Linaloonyesha Upendo na Imani? (Dak. 5)
Na. 3: Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutengana kwa Mume na Muke?—rs uku. 229 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 87
Dak. 10: Matangazo. Zungumuzia kitabu cha kutolea watu katika mwezi wa 3, na mufanye onyesho moja.
Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Zaburi 63:3-8 na Marko 1:32-39. Muzungumuzie jinsi maandiko hayo yanavyoweza kutusaidia katika mahubiri.
Dak. 15: “Kampanye ya Kuwaalika Watu Kwenye Ukumbusho Itaanza Tarehe 17 Mwezi wa 3.” Maulizo na majibu. Ikiwa mumekwisha kupata mialiko ya Ukumbusho, umutolee kila muhuzuriaji mualiko mumoja, na muzungumuzie habari zilizo ndani. Munapozungumuzia fungu la 2, mufanye onyesho fupi kuhusu jinsi ya kumutolea mutu mualiko huo. Munapozungumuzia fungu la 3, umuombe mwangalizi wa utumishi aeleze mipango iliyochukuliwa ili kugawanyia watu mialiko ya Ukumbusho katika eneo lote.
Wimbo 8 na Sala