Programu ya Juma Tokea Tarehe 9 Mwezi wa 7
JUMA TOKEA TAREHE 9 MWEZI WA 7
Wimbo 78 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura 23 fu. 9-15, visanduku kwenye uku. 184, 186 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 11-14 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 11:14-25 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Andiko la Yohana 6:53-57 Linamaanisha Nini?—rs uku. 206 fu. 3-4 (Dak. 5)
Na. 3: Upole Unamaanisha Nini, na Namna Gani Unaweza Kutusaidia Kuwa na Maoni Mazuri?—Sef. 2:3 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 96
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Kupata Matokeo Tunapowarudilia Watu. Mazungumuzo yanayotegemea maulizo yafuatayo: (1) Sababu gani ni vizuri kuwa na muradi fulani kila mara tunapomurudilia mutu? (2) Tutachukua muda gani tunapomurudilia mutu kwa mara ya kwanza? (3) Namna gani tunaweza kujitambulisha tunapomurudilia mutu? (4) Tunaweza kusema nini ikiwa mutu anasema hapendezwe? (5) Tunapomurudilia mutu aliyekubali trakti, broshua, ao magazeti, wakati gani na namna gani tunaweza kuzungumuzia kitabu Biblia Inafundisha kwa mara ya kwanza? (6) Namna gani tunaweza kuchochea kupendezwa kwa mutu ambaye imekuwa vigumu kumukuta nyumbani? (7) Namna gani tunaweza kuwazoeza wahubiri ambao hawana uzoefu tunapowarudilia watu?
Dak. 15: “Wewe Una ‘Sababu Gani ya Kufurahi’?” Maulizo na majibu. Unapozungumuzia fungu la 4, uwatie wote moyo wawe na zoezi la kutoa ripoti yao ya mahubiri kila mwezi. Zungumuzia mambo ya maana yaliyo katika kitabu Tengenezo, ukurasa wa 88-90.
Wimbo 9 na Sala