Programu ya Juma Tokea Tarehe 24 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 24 MWEZI WA 9
Wimbo 45 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 27 fu. 1-9 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Danieli 1-3 (Dak. 10)
Na. 1: Danieli 2:17-30 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Viumbe wa Mbinguni wa Mungu Wamepangwa Kitengenezo?—rs uku. 297 fu. 3–uku. 298 fu. 2 (Dak. 5)
Na. 3: Jinsi Tunavyoweza Kuepuka Kuihuzunisha Roho Takatifu—Efe. 4:30 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 130
Dak. 30: “Les jeunes s’interrogent... Que vais-je faire de ma vie ? (Sehemu ya 2)” Maulizo na majibu. Katika maneno ya utangulizi ya dakika moja, rudilia mambo yaliyozungumuziwa juma lililopita katika Sehemu ya 1. Malizia kwa kuwapongeza kwa shauku vijana kwa kuwa wanajikaza ‘kumukumbuka’ Yehova katika siku zao za ujana. (Mhu. 12:1) Uwatie moyo wasibadilishe nia yao ya kuendelea kutumia maisha yao katika kazi ya Yehova. Ikiwa ndugu hawana video hiyo mupange mazungumuzo yanayotegemea vitabu Vijana Huuliza, buku la 1 na la 2. Kupatana na mahitaji ya kutaniko lenu, wazee wawili watazungumuzia habari zilizochaguliwa katika sura mbili za vitabu hivyo. Kila muzee atachukua dakika 15. Muwaombe vijana watoe maelezo kuhusu mambo wanayojifunza.
Wimbo 91 na Sala