Programu ya Juma Tokea Tarehe 15 Mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 15 MWEZI WA 10
Wimbo 101 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 28 fu. 1-7 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Danieli 10-12 (Dak. 10)
Na. 1: Danieli 11:15-27 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Wakristo Hawalipize Kisasi—Rom. 12:18-21 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Watumishi Waaminifu wa Mungu Wanatawanyika Katika Makanisa Mbalimbali?—rs uku. 300 fu. 3-5 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 106
Dak. 10: Mutu Akisema, ‘Mimi Sipendezwe.’ Mazungumuzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 16, fungu la 1, mupaka ukurasa wa 18, fungu la 1. Muzungumuzie majibu fulani yanayopendekezwa na majibu mengine ambayo mumetumia katika eneo lenu na ambayo yamekuwa na matokeo mazuri. Mufanye maonyesho mawili kuhusu mapendekezo mawili.
Dak. 20: “Tumia Trakte ili Kueneza Habari Njema.” Maulizo na majibu. Munapozungumuzia fungu la 5, muzungumuzie kwa kifupi trakte mulizotolea watu katika Mwezi wa 11, na mufanye onyesho kuhusu jinsi ya kuzitolea watu. Munapozungumuzia fungu la 7, mufanye onyesho kuhusu jinsi ya kutolea watu trakte munapohubiri wakati hamukupanga kufanya hivyo.
Wimbo 97 na Sala