Programu ya Juma Tokea Tarehe 10 Mwezi wa 12
JUMA TOKEA TAREHE 10 MWEZI WA 12
Wimbo 32 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 2 fu. 14-19, kisanduku kwenye uku. 25 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Sefania 1–Hagai 2 (Dak. 10)
Na. 1: Hagai 1:1-13 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Falsafa (Filozofia) za Wanadamu Zilitoka Wapi?—rs uku. 75 fu. 2–uku. 76 fu. 1 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Kupata Akili ya Kristo, Tunajua Mengi Kumuhusu Yehova—Mt. 11:27 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 107
Dak. 15: Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi ya Mwaka wa 2013. Hotuba itakayotolewa na mwangalizi wa Masomo. Zungumuzia mambo yanayostahili kutiliwa mukazo katika kutaniko lenu ukitumia maagizo kuhusu Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi ya mwaka wa 2013. Tia wote moyo wawe na bidii katika kutimiza migawo yao, kutoa maelezo kuhusu mambo makubwa ya usomaji wa Biblia, na kutumia mapendekezo yanayotolewa kila juma kutoka kitabu Shule ya Huduma.
Dak. 15: ‘Tuwe Wenye Kufanya Amani na Watu Wote.’ Maulizo na majibu. Mufanye maonyesho mawili mafupi; onyesho la kwanza lionyeshe njia isiyofaa ya kumujibu musikilizaji mwenye kukasirika, na onyesho la pili lionyeshe njia nzuri ya kufanya hivyo.
Wimbo 39 na Sala