Programu ya Juma Tokea Tarehe 4 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 4 MWEZI WA 2
Wimbo 70 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 5 fu. 1-6, kisanduku kwenye uku. 55 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mathayo 22-25 (Dak. 10)
Na. 1: Mathayo 23:25-39 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Sababu Gani Wakristo Wanapaswa Kupendezwa Sana na Unabii Mbalimbali wa Biblia?—rs uku. 345 fu. 6–uku. 346 fu. 3 (Dak. 5)
Na. 3: Ni Mifano Gani ya Biblia Inayoonyesha Hekima ya Methali 3:5? (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 37
Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Jinsi ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 2. Mazungumuzo. Kwa muda wa segonde 30 ao 60 eleza sababu gani magazeti hayo yatawapendeza watu wa eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari iliyo kwenye ukurasa wa kwanza wa Munara wa Mulinzi, omba wasikilizaji watoe maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na maandiko wanayoweza kusoma. Fanya hivyo hivyo kuhusu Amkeni!, na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu habari nyingine moja ya Munara wa Mulinzi ao ya Amkeni! Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Dak. 10: Mutu akisema, ‘Mimi Siamini Mungu.’ Mazungumuzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 220, fungu la 1, mupaka ukurasa wa 221, fungu la 2. Mufanye onyesho fupi.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Wimbo 95 na Sala