Programu ya Juma Tokea Tarehe 25 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 25 MWEZI WA 3
Wimbo 76 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 7 fu. 1-6 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Luka 4-6 (Dak. 10)
Na. 1: Luka 4:22-39 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Rangi Mbalimbali za Watu Zilitoka Wapi?—rs uku. 95 fu. 1-4 (Dak. 5)
Na. 3: Ni Mambo Gani Yanayotuhakikishia Kwamba Yesu Alifufuliwa?—1 Kor. 15:3-7 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 111
Dak. 5: Anzisha Funzo la Biblia Siku ya Posho ya Kwanza ya Mwezi. Kwa kutumia namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zinazoonyeshwa kwenye ukurasa wa 8, mufanye onyesho kuhusu namna ya kuanzisha funzo la Biblia Siku ya Posho ya kwanza ya Mwezi wa 4. Tia wote moyo waanzishe mafunzo siku hiyo.
Dak. 25: “Namna ya Kutumia Broshua Habari Njema Inayotoka kwa Mungu!” Maulizo na majibu. Munapozungumuzia fungu la 6, mufanye maonyesho mawili.
Wimbo 97 na Sala