Programu ya Juma Tokea Tarehe 16 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 16 MWEZI WA 9
Wimbo 21 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 14 fu. 8-13 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wakorintho 1-7 (Dak. 10)
Na. 1: 2 Wakorintho 1:15–2:11 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kuna Tofauti Gani Kati ya Kuzaliwa Upya Katika Mwili Mwengine na Ufufuo?—rs uku. 152 fu. 4-5 (Dak. 5)
Na. 3: Mutu Anapaswa Kufanya Nini ili Kupata Kimbilio Katika Jina la Yehova?—Sef. 3:12 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 41
Dak. 10: Vijana—Mtatumiaje Maisha Yenu?—Sehemu ya 2. Hotuba inayotegemea trakte Maisha Yenu, kuanzia fungu la 10 mupaka mwisho. Kwa muda mufupi umuulize maulizo muhubiri ambaye alifanya utumishi wa wakati wote alipokuwa kijana. Ni nini iliyomuchochea kufanya hivyo? Amepata baraka gani?
Dak. 10: Unapohubiri Peke Yako. Mazungumuzo. (1) Unapohubiri peke yako, ni nini kitakachokusaidia ulinde furaha yako? (2) Unapowarudilia watu ukiwa peke yako, unapaswa kuwa muangalifu kuhusu mambo gani? (3) Ikiwa hakuna mukutano kwa ajili ya mahubiri siku ambazo umepanga kuhubiri, unaweza kufanya nini ili upate mutu anayeweza kukusindikiza katika mahubiri? (4) Kuna faida gani ikiwa wakati fulani mutu anahubiri peke yake wakati na mahali ambapo si hatari kufanya hivyo?
Dak. 10: “Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?” Maulizo na majibu. Uzungumuzie kwa kifupi namna broshua hiyo inavyopangwa na namna ya kuitumia.—Ona Huduma Yetu ya Ufalme ya Mwezi wa 3, 2013, ukurasa wa 3.
Wimbo 107 na Sala