Programu ya Juma Tokea Tarehe 23 Mwezi wa 12
JUMA TOKEA TAREHE 23 MWEZI WA 12
Wimbo 127 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jl Somo 23-25 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ufunuo 7-14 (Dak. 10)
Na. 1: Ufunuo 9:1-21 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Njia Ambazo Wakristo wa Kweli Wanaweza Kuonyesha Ukaribishaji-Wageni wa Kweli—Ebr. 13:2 (Dak. 5)
Na. 3: Washiriki wa Dini ya Kweli Wanapendana na Wanajitenga na Ulimwengu—rs uku. 65 fu. 5–uku. 66 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 124
Dak. 10: Vichapo vya Kuwatolea Watu Katika Mwezi wa 1 na wa 2. Mazungumuzo. Zungumuzia habari zilizo katika vichapo vya kuwatolea watu, kisha mufanye maonyesho mawili.
Dak. 20: “Namna ya Kuwasaidia Watu Ambao Hawako Tayari Kujifunza Kitabu Biblia Inafundisha.” Maulizo na majibu. Mufanye onyesho kuhusu pendekezo moja kati ya mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa wa 6.
Wimbo 46 na Sala