Matangazo
◼ Mwezi wa 2: Tutawatolea watu broshua yoyote kati ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32: Habari Njema Inayotoka kwa Mungu!, Umusikilize Mungu, ao Umusikilize Mungu ili Uishi Milele. Mwezi wa 3 na wa 4: Tutawatolea watu Munara wa Mulinzi na Amuka!
◼ Katika mwaka wa 2014, hotuba ya pekee itakayotolewa katika kipindi cha Ukumbusho ni yenye kichwa: “Sababu Gani Mungu Mwenye Upendo Anawaacha Watu Wateseke?”
◼ Wahubiri hawapashwe kutia Biblia kwenye meza ao kwenye charette wanapotoa ushahidi mahali pa watu wengi. Lakini, wanaweza kuwa na Biblia za kuwatolea watu wanaoziomba ao wanaopendezwa kabisa na kweli.