Programu ya Juma Tokea Tarehe 3 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 3 MWEZI WA 3
Wimbo 112 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 3 fu. 19-21, kisanduku kwenye uku. 34 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 36-39 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 37:1-17 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Wale Watakaofufuliwa Hawatahukumiwa kwa Sababu ya Mambo Waliyofanya Zamani?—rs uku. 324 fu. 4 (Dak. 5)
Na. 3: Abigaili: Onyesha Sifa Zinazomuletea Yehova Utukufu—it-1-F uku. 20, Abigaïl Na. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 117
Dak. 10: Watolee Watu Magazeti Katika Mwezi wa 3. Mazungumuzo. Anza na onyesho kuhusu namna tunaweza kuwatolea watu magazeti kwa kutumia mapendekezo yanayopatikana kwenye ukurasa huu. Kisha muzungumuzie kila pendekezo mwanzo mupaka mwisho. Malizia kwa kuwaomba wasikilizaji waeleze namna magazeti na mialiko vinaweza kutolewa pamoja Siku ya Posho na Siku ya Yenga ya majuma mawili ya mwisho wa Mwezi.
Dak. 10: Mahitaji ya Kutaniko Lenu.
Dak. 10: Tulitumika Namna Gani? Mazungumuzo. Omba wahubiri waeleze namna gani walifaidika kwa kutumikisha mashauri tuliyojifunza katika sehemu “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kuandika Mambo Fulani Kuhusu Mutu Anayependezwa.” Omba wasikilizaji waeleze mambo waliyokutana nayo yenye kufurahisha.
Wimbo 95 na Sala