Programu ya Juma Tokea Tarehe 10 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 10 MWEZI WA 3
Wimbo 1 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura 4 fu. 1-9 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 40-42 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 41:1-16 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Namna Gani “Wale Wafu Wengine” Wanafufuliwa Duniani?—rs uku. 325 fu. 1–uku. 326 fu. 1 (Dak. 5)
Na. 3: Abihu (Abihou)—Kuwa na Pendeleo Fulani Hakumupatie Mutu Haki ya Kukosa Utii—it-1-F uku. 21-22 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 88
Dak. 15: Ibada ya Familia Yenye Kujenga. Uliza familia moja maulizo kuhusu ibada yao ya familia. Wanatumia wakati wao namna gani? Wanapata namna gani habari za kuzungumuzia? Wametumia habari gani zinazopatikana kwenye adresi yetu ya Internete jw.org? Namna gani Ibada ya Familia inawasaidia katika mahubiri? Wanachukua mipango gani ili mambo mengine yasizuie programu yao? Programu yao ya ibada ya familia imewasaidia namna gani?
Dak. 15: “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kushinda Vizuia-Mazungumuzo.” Mazungumuzo. Zungumuzia njia mbili ao tatu ambazo watu wanaweza kutumia ili kujaribu kukatiza mazungumuzo, na uombe wahubiri waeleze namna tunaweza kujibia. Uwakumbushe wahubiri kwamba katika juma tokea tarehe 7 Mwezi wa 4, wataombwa waeleze mambo waliyokutana nayo.
Wimbo 97 na Sala