Programu ya Juma Tokea Tarehe 17 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 17 MWEZI WA 3
Wimbo 113 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura 4 fu. 10-18 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 43-46 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 44:18-34 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ni Nani Wengine Watakaofufuliwa ili Kuishi Duniani?—rs uku. 326 fu. 2–uku. 327 fu. 3 (Dak. 5)
Na. 3: Abiya (Abiya)—Usiache Kumutegemea Yehova—it-1-F uku. 26, Abiya Na. 5 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 61
Dak. 15: Onyesha Hekima Katika Mahubiri. Mazungumuzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 197, fungu la 1, mupaka ukurasa wa 199, fungu la 4. Mufanye onyesho la muhubiri anayejibia kizuia-mazungumuzo kinachotokea mara nyingi katika eneo bila kutumia hekima. Kisha mufanye onyesho lingine ambamo muhubiri huyo anatumia hekima.
Dak. 15: “Utaonyesha Shukrani?” Maulizo na majibu. Omba ndugu na dada waeleze namna wanapanga kutumia programu ya pekee ya usomaji wa Biblia katika kipindi cha Ukumbusho. Zungumuzia mipango ambayo kutaniko lenu limechukua kwa ajili ya Ukumbusho.
Wimbo 8 na Sala