Programu ya Juma Tokea Tarehe 31 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 31 MWEZI WA 3
Wimbo 105 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura 5 fu. 1-8 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 1-6 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 2:1-14 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kristo Atakaporudi, Hataonekana kwa Macho ya Wanadamu—rs uku. 116 fu. 3–uku 117 fu. 2 (Dak. 5)
Na. 3: Abiramu—Kuwapinga Wale Ambao Mungu Amepatia Mamlaka Ni Kumupinga Yehova Mwenyewe—it-1-F uku. 24, Abiram Na. 1 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 63
Dak. 10: “Tumia Magazeti ya Zamani.” Mazungumuzo. Julisha ndugu na dada kuhusu magazeti ya zamani yaliyo katika stoke ya kutaniko na ambayo munaweza kutumia katika mahubiri. Omba wahubiri waeleze mambo waliyokutana nayo walipotumia magazeti ya zamani. Mbele ya kumaliza, umuombe mwangalizi wa utumishi aeleze namna kampanye ya kualika watu kwenye Ukumbusho inaendelea.
Dak. 10: Mahitaji ya Kutaniko Lenu.
Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Mathayo 28:20 na 2 Timotheo 4:17. Muzungumuzie namna habari hizo zinaweza kutusaidia katika mahubiri.
Wimbo 135 na Sala