Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 Mwezi wa 7
JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 7
Wimbo 99 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 9 fu. 21-24, kisanduku kwenye uku. 96 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Walawi 17-20 (Dak. 10)
Na. 1: Walawi 19:19-32 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Sababu Gani Wakristo Watiwa-mafuta, ao “Watakatifu,” Hawaonwe Kuwa Hawana Zambi—rs uku. 408 fu. 2 (Dak. 5)
No. 3: Abiso (Abîme): Biblia Inafundisha Nini Kuhusu Abiso—it-1-F uku. 22-23 (Dak. 5)
Wimbo 14
Dak. 10: Kuwatolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 7. Mazungumuzo. Anza na maonyesho kuhusu namna ya kuwatolea watu magazeti kwa kutumia mapendekezo yanayopatikana kwenye ukurasa huu. Kisha muzungumuzie kila pendekezo mwanzo mupaka mwisho. Malizia kwa kuwatia moyo ndugu na dada wasome habari zilizo katika magazeti na kuyatolea watu kwa bidii.
Dak. 10: Mahitaji ya Kutaniko Lenu.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumuzo yatakayotolewa na mwandishi wa Kutaniko. Zungumuzia mambo ambayo Kutaniko limetimiza wakati wa Ukumbusho, na upongeze ndugu na dada kwa kazi waliofanya. Alika wasikilizaji waeleze mambo yenye kufurahisha waliopata walipowatolea watu mialiko ao walipotumika wakiwa mapainia wasaidizi.
Wimbo 123 na Sala