Programu ya Juma la Tarehe 8 Mwezi wa 9
JUMA LA TAREHE 8 MWEZI WA 9
Wimbo 133 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl Sura ya 12 fu. 16-21, kisanduku kwenye ukurasa wa 127 (Dak. 30)
□Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 22-25 (Dak. 10)
No. 1: Hesabu 22:36–23:10 (Isipite dak. 4)
No. 2: Shetani Si Ubaya Ulio Ndani ya Watu—rs uku. 270 fu. 4–uku. 271 fu. 2 (Dak. 5)
No. 3: Adamu (Adam): Ni Katika Njia Gani Adamu Aliumbwa kwa Mufano wa Mungu?—it-1-F uku. 43-44 fu. 5 (Dak. 5)
□Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 94
Dak. 15: Tuonyeshe Adabu Wakati Tunahubiri. (2 Kor. 6:3) Mazungumuzo yanayotegemea maulizo yanayofuata: (1) Sababu gani ni jambo la maana tuonyeshe adabu wakati tunahubiri? (2) Namna gani tunaweza kuonyesha adabu wakati (a) kikundi chetu cha mahubiri kinafika katika eneo? (b) tunahubiri nyumba kwa nyumba katika eneo lenye nyumba nyingi ao wakati tunahubiri nyumba kwa nyumba tukiwa na motokari yetu kwenye maeneo ya mashamba? (c) tuko kwenye mulango wa mutu? (d) muhubiri mwenzetu anatoa ushahidi? (e) mwenye nyumba anazungumuza? (f) mwenye nyumba ana kazi nyingi ao hali ya hewa si nzuri? (g) mwenye nyumba anakuwa mukali?
Dak. 15: “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kumutayarisha Musikilizaji ili Kumurudilia.” Mazungumuzo. Mufanye onyesho la mutu mwenye kujisemesha. Muhubiri mumoja anajitayarisha kwa ajili ya mahubiri na anatafuta ulizo ambalo watazungumuzia wakati atamurudilia musikizaji ikiwa anakubali magazeti.
Wimbo 68 na Sala