Programu ya Juma Tokea Tarehe 15 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 15 MWEZI WA 9
Wimbo 105 na Sala
cl sura ya 13 fu. 1-10 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 26-29 (Dak. 10)
No. 1: Hesabu 27:15–28:10 (Isipite dak. 4)
No. 2: Mungu Hakuumba Ibilisi—rs uku. 271 fu. 3 (Dak. 5)
No. 3: Adamu (Adam): Matokeo Mabaya yaZambi—it-1-F uku. 44 fu.6-8 (Dak.5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 11
Dak. 15: Tulitumika Namna Gani? Hotuba itakayotolewa na mwangalizi wa utumishi. Zungumuzia kazi ambayo kutaniko lilifanya katika mwaka wa utumishi uliopita na pia kampanye ya pekee ya Mwezi wa 8. Kazia mambo mazuri yaliyotimizwa, na uwapongeze wahubiri kwa kazi waliofanya. Waombe wasikilizaji waeleze mambo mazuri ambayo walikutana nayo katika Mwezi wa 8, na uulize muhubiri fulani aliyeongeza bidii katika kazi ya mahubiri. Malizia kwa kutaja jambo moja ao mambo mawili ambayo kutaniko linaweza kutengeneza mwaka unaokuja kuhusiana na kazi ya kuhubiri, na utoe mapendekezo yenye kufaa ili kurekebisha hali hiyo.
Dak. 15: “Tuige Mufano wa Manabii—Nahumu.” Maulizo na majibu.
Wimbo 46 na Sala