Programu ya Juma Tokea Tarehe 22 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 22 MWEZI WA 9
Wimbo 9 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 13 fu. 11-18 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 30-32 (Dak. 10)
No. 1: Hesabu 32:16-30 (Isipite dak. 4)
No. 2: Sababu Gani Mungu Hakumuharibu Shetani Mara Moja Baada ya Kuasi?—rs uku. 272 fu. 1-2 (Dak. 5)
No. 3: Usimamizi (Administration): Usimamizi wa Kibinadamu Kuanzia Adamu Mupaka Wakati wa Mitume—it-1-F uku. 46 fu. 14–uku. 47 fu. 2 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 93
Dak. 15: Kuwa Misionere Kunaleta Baraka Nyingi. (Met. 10:22) Mazungumuzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka wa 2014, ukurasa wa 124, fungu la 1 mupaka ukurasa wa 127, fungu la 4; na ukurasa wa 169. Omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo tunayojifunza kutokana na habari hizo.
Dak. 15: “Tutumie jw.org Katika Mahubiri.” Mazungumuzo. Mufanye onyesho kwa kutumia pendekezo kwenyefungu la 2. Kisha waulize wasikilizaji maulizo haya: Kuwa na video hiyo kwenye telefone ao vyombo vingine vya kielektroniki vya mukononi kuna faida gani? Sababu gani ni vizuri kuonyesha mara moja musikilizaji video hiyo bila kusema mambo mengi, ao bila kumuomba ruhusa? Umepata matokeo gani katika mahubiri kwa kutumia video hiyo? Malizia kwa kutia moyo wahubiri wajikaze kujua mambo mbalimbali yaliyo kwenye jw.org na kutumikisha adresi hiyo katika mahubiri.
Wimbo 84 na Sala