Programu ya Juma la Tarehe 20 Mwezi wa 10
JUMA LA TAREHE 20 MWEZI WA 10
Wimbo 109 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 14 fu. 16-20, kisanduku kwenye uku. 147 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu 7-10 (Dak. 10)
No. 1: Kumbukumbu 9:15-29 (Isipite dak. 4)
No. 2: Inawezekana Mutu Mukamilifu Afanye Zambi—rs uku. 54 fu. 3–uku. 55 fu. 3 (Dak. 5)
No. 3: Adoniya: Usishakie Uamuzi wa Yehova—it-1-F uku. 48,Adoniya Na. 1 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 116
Dak. 15: “Tuelezee Watu Mambo Ambayo Tunaamini Kuhusu Mwaka wa 1914.” Mazungumuzo. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu kila ulizo lililo kwenye nukta nyeusi.
Dak. 15: Kifaa cha Kutusaidia Tuelezee Watu Mambo Ambayo Tunaamini Kuhusu Mwaka wa 1914. Muanze na onyesho la dakika 7. Katika onyesho hilo muhubiri anatumia muchoro ulio kwenye ukurasa wa 11 wa Munara wa Mulinzi wa tarehe 1 Mwezi wa 11, 2014, ili kumuelezea mwanafunzi wake namna unabii ulio kwenye Danieli sura ya 4 unahusu Ufalme wa Mungu. Waulize wasikilizaji sababu gani onyesho hilo lilikuwa nzuri. Malizia kwa kusoma Ufunuo 12:10, 12 na uwaombe wasikilizaji waeleze sababu gani kujua kwamba Ufalme wa Mungu ulianza kutawala mwaka wa 1914 kunatuchochea tuhubiri habari njema kwa haraka.
Wimbo 133 na Sala