Programu ya Juma la Tarehe 10 Mwezi wa 11
JUMA LA TAREHE 10 MWEZI WA 11
Wimbo 99 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 15 fu. 20-23, Kisanduku kwenye uku. 157 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu 19-22 (Dak. 10)
No. 1: Kumbukumbu 22:20-30 (Isipite dak. 4)
No. 2: Matokeo ya Zambi juu ya Uhusiano Wetu na Mungu—rs uku. 57 fu. 2–uku. 58 fu. 2 (Dak. 5)
No. 3: Kufanywa Kuwa Mwana wa Mutu Fulani (Adoption): Yehova Anawafanya Watu Kuwa Watoto ao Wana Wake wa Kiroho Kupitia Kristo Yesu—it-1-F uku. 49 fu. 5-7 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 12
Dak. 10: Umuulize Maulizo Mwangalizi wa Utumishi. Katika mugawo wako unafanya kazi gani? Wakati unatembelea kikundi cha mahubiri, unajikaza kutimiza nini? Wale walio katika kikundi cha mahubiri wanaweza kufanya nini ili wafaidike kabisa unapowatembelea? Muhubiri fulani anapokuomba umusaidie katika sehemu fulani ya mahubiri, unamusaidia namna gani?
Dak. 20: “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kupendezwa na Musikilizaji.” Mazungumuzo. Kisha kuzungumuzia habari hii, mufanye onyesho lenye sehemu mbili. Katika sehemu ya kwanza, muhubiri anamutolea mutu magazeti ya mwezi huu bila kuonyesha kwamba anapendezwa naye. Katika sehemu ya pili, muhubiri anaonyesha kwamba anapendezwa na musikilizaji.
Wimbo 84 na Sala