Programu ya Juma la Tarehe 2 Mwezi wa 2
JUMA LA TAREHE 2 MWEZI WA 2
Wimbo 109 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 19 fu. 18-23, kisanduku kwenye uku. 198 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 8-10 (Dak. 8)
Na. 1: Waamuzi 8:13-27 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Ni Nani Aliandika Biblia?—igw uku. 6 fu. 1-5 (Dak. 5)
Na. 3: Andrea (André) —Kichwa: Hakujulikana Sana, Lakini Alikuwa Mwepesi Kukaribiwa na Mwaminifu—it-1-F uku. 119 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi ‘Tumutumikie Bwana kwa Unyenyekevu Mukubwa Zaidi’. —Matendo 20:19.
Wimbo 110
Dak. 10: Tuwatolee Watu Magazeti Katika Mwezi wa 2. Mazungumuzo. Muanze kwa kufanya onyesho kuhusu namna magazeti yanaweza kutolewa, kwa kutumia namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zilizo kwenye ukurasa huu. Kisha muchunguze namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo kuanzia mwanzo mupaka mwisho.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Tulitumika Namna Gani? Mazungumuzo. Omba wahubiri waeleze namna walifaidika kwa kutumikisha mashauri yenye tulijifunza katika sehemu “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kumujibia Musikilizaji Mwenye Kukasirika.” Omba wasikilizaji waeleze mambo yenye kufurahisha ambayo walikutana nayo.
Wimbo mupya “Tupe Ujasiri” na Sala
Tafazali, musikilize kwanza muziki wote wa wimbo huo mara moja, na kisha kutaniko liimbe wimbo huo mupya.